Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akiwasili kwenye ukumbi wa Bunge
kwa ajili ya kuongoza mjadala wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya
Katiba mpya leo mjini Dodoma kabla ya Bunge hilo halihairishwa hadi
Agosti mwaka huu.
Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akiongoza mjadala wa sura ya
kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya leo mjini Dodoma kabla ya Bunge
hilo halijahairishwa hadi Agosti mwaka huu.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ezekeil Oluoch akichangia marekebisho ya Kanuni za Bunge leo mjini Dodoma kabla ya kuhairishwa kwa Bunge hilo.
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge
la Katiba Mizengo Pinda (kushoto) na Mjumbe wa Bunge hilo Godfrey Zambi
wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya kuhairishwa kwa Bunge
hilo.
Mjumbe
wa Bunge Maalum la Katiba Asha Bakari Makame akichangia marekebisho ya
Kanuni za Bunge leo mjini Dodoma kabla ya kuhairishwa kwa Bunge hilo.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Andrew Chenge akichangia marekebisho ya Kanuni za Bunge leo mjini Dodoma kabla ya kuhairishwa kwa Bunge hilo.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Suleman Jaffo akichangia marekebisho ya Kanuni za Bunge leo mjini Dodoma kabla ya kuhairishwa kwa Bunge hilo.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Evod Mmanda akiwasilisha marekebisho ya Kanuni za Bunge leo mjini Dodoma kabla ya kuhairishwa kwa Bunge hilo.
Wajumbe
wa Bunge Maalum la Katiba Mohamed Seif Khatib(kulia) na Mohamed Aboud
Mohamed (kushoto) wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya
kuhairishwa mkutano hadi Agosti mwaka huu.
Picha na Bunge Maalum la Katiba
Picha na Bunge Maalum la Katiba
Mjumbe
wa Bunge Maalum la Katiba Christopher Ole Sendeka akikanusha taarifa
potofu iliyotolewa leo Bunge mjini Dodoma na mjumbe mwenzie wakati wa
mjadala wa kurekebisha kanuni za Bunge hilo.
0 comments:
Post a Comment