Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
LEAH DOMINICK MNYAMBUGWE (52) mkazi wa Dodoma
Mjini namba yake ya ushiriki ni MS 03, yeye ni mkulima na mfugaji ana shamba la
ukubwa wa ekari 21.
ANADHANI YEYE NI MFANO WA KUIGWA: Kwa sababu
mifugo insaidia kupata kipato pia kuelimishana kuhusu ufugaji wa kisasa na
kupata mazao bora. "Nina shamba lenye ukubwa wa ekari 21.
Kwa mwaka ninavuna mazao gunia 40 na ninapata lita 1,460 za maziwa"
MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA
0 comments:
Post a Comment