KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA TAASISI ZILIZO CHINNI YA OFISI YA WAZIRI MKUU MKOANI DODODMA LEO 12 MEI 2014
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN). |
(Na Mwandishi
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Uongozi wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Maziri Mkuu
watembelea Miradi mbalimbali ya maendeleo inayo simamaiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Akizungumza na Wakurugenzi wa Idara na Wakuu wa Taasisi
zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt: Florens M. Turuka amesema lengo la kutembelea miradi ni kujionea
mwenywe yeye na Wakurugenzi na wakuu wa Taasisi ili kuweza kujiridhisha na mana
ya uwendelezaji wa Miradi hiyo inayao simamiwa na Serikali.
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M
Turuka wa (katikati) akitoa
maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM
walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani . |
Miongoni mwa miradi iliyo tenmbelewa ni Mradi wa Makaburi ya viongozi ambapo mradi huu uko katiaka hatua za Mwisho
za kukamilisha kuwalipa fidia wakazi wa eneo husiaka ili kupisha mradi huo
uendelee .
Aidha pamoja na mradi wa makaburi pia waliweza
kutembelea miradi ya upimaji viwanja vya makazi
na eneo la uwekezaji katiaka eneo la Njedengwa njekidogo ya Manispaa ya Dododm unao tekelezwa
na Mamlaka ya Uastawishaji Makao Makuu Dododma (CDA)
Naye kaimu Mkurugengenzi wa Mamlaka ya
Ustawishaji Makao Mkuu Dododma (CDA) Bw: Pascal
Murugiri amesema mradi wa Njedengwa umegarimu jumla ya ya kiasi cha Shilingi
Bilioni 15 ikiwa kama mkopo kutoka benki hivyo nifursa sasa kwa wananchi kuja (CDA) na kujipatia viwanja amabavyo viko
tayari vikiwa na huduma zote za msingi
kama Barabara za lami Umeme na Maji.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw:
Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradi
wa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada
wa Benki ya Dunia
wanao wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu OWM Mkoani Dodoma |
0 comments:
Post a Comment