Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi akifungua mkutano wa mwaka
uliowakutanisha Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu katika
Mamlaka za Serikali za Mitaa mjini Dodoma leo.
Sehemu
ya washiriki wa mkutano wa Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu
katika Mamlaka za Serikali za Mitaa wakimsikiliza mgeni rasmi Mkuu wa
Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi (hayupo pichani).
Sehemu
ya Washiriki wa mkutano wa Wakuuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu
katika Mamlaka za Serikali za Mitaa hapa nchini wakipewa utaratibu wa
siku ya kwanza.
Picha
ya pamoja na waratibu wa mkutano wa Wakuu wa Idara za Utawala na
Rasilimaliwatu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa; Katibu Mkuu, Ofisi
ya Rais-Utumishi Bw. George D. Yambesi (watatu kutoka kushoto), akiwa na
mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchini (wanne kutoka
kushoto), na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa
tano kushoto).
0 comments:
Post a Comment