Home » » ZIARA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI ZIARANI DODOMA NA SINGIDA

ZIARA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI ZIARANI DODOMA NA SINGIDA


 Waziri wa Ujenzi Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli leo amefungua Mradi wa Taa za kuongozea Magari katika mji wa Dodoma.Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng.Musa Ibrahim Iyombe Mradi huo ambao umefanywa na wakandarasi Wazawa umegarimu shilingi Milioni 384.Mataa yaliyozinduliwa leo ni yaliyopo ANJIA PANDA ya Barabara ya Nyerere na Mpwapwa na yale yaliyopo njia panda ya Barabara ya Area D na barabara  ya kuelekea Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  Dkt.Rehema Nchimbi kulia akimkaribisha  Waziri wa Ujenzi,Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli Kufungua Mradi wa Taa za kuongozea Magari Mjini Dodoma.
 Waziri wa Ujenzi,Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Mradi wa Taa za kuongozea Magari Mjini Dodoma.
 WAZIRI WA UJENZI DKT.JOHN MAGUFULI KATIKATI AKIKATA UTEPE KUASHIRIA KUZINDUA UJENZI WA BARABARA YA MANYONI MJINI YENYE UREFU WA KILOMITA NNE

 WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIWA PAMOJA NA MKUU WA MKOA WA SINGIDA DKT.PARASEKO KONE, MBUNGE WA MANYONI JOHN CHILIGATI PAMOJA NA MWENYEKITI WA WENYEVITI WA CCM MGANA MSINDAI WAKIFUNGUA JIWE LA MSINGI KUASHIRIA UJENZI WA BARABARA HIYO. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa