Mwenyekiti wa
CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwenye ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM Dodoma
Agosti 19, 2014. Kushoto ni Makamu wa Mwenyekiti wa CCM (Visiwani) na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Kulia ni Makamu wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula akifuatiwa na Katibu Mkuu wa
CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa katika Uwanja wa ndege wa Dodoma na Katibu
Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi
na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu
ya CCM Taifa Dkt Emmanuel Nchimbi
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais
Jakaya Mrisho Kikweteakiagana na wajumbe wa Kamati
Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mbunge wa Songea mjini Dkt Emmanuel
Nchimbi, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na
Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama, na Naibu Waziri
wa Fedha na mbunge wa Iramba Magharibi Mhe Mwigulu Nchemba
0 comments:
Post a Comment