Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba. Mhe. Samuel
Sitta akiongoza bunge hilo leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Amon
Mpanju akisoma Azimio la kupitisha marekebisho ya Kanuni za Bunge Maalum leo 22
Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Ezekiel Olouch
akichangia mada wakati wa usomaji wa Azimio la kupitisha marekebisho ya Kanuni
za Bunge Maalum leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Paul Makonda
akichanghia mada wakati wa usomaji wa Azimio la kupitisha marekebisho ya Kanuni
za Bunge Maalum leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Pindi Chana
akichangia mada wakati wa usomaji wa Azimio la kupitisha marekebisho ya Kanuni
za Bunge Maalum leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment