Home » » MFUKO WA GEPF WATOA SEMINA MAALUM KWA WAMILIKI WA HOTELI NA NYUMBA ZA WAGENI (GUEST HOUSES) MKOANI DODOMA

MFUKO WA GEPF WATOA SEMINA MAALUM KWA WAMILIKI WA HOTELI NA NYUMBA ZA WAGENI (GUEST HOUSES) MKOANI DODOMA



Waziri wa Kazi na Ajira,Mh Gaudentia Kabaka akifungua rasmi semina maalum kwa wamiliki wa hoteli ya nyumba za kulala wageni wa Mkoa wa Dodoma,iliyofanyika kwenye katika ukumbi wa mikutano wa Dodoma Hotel.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa GEPF, Bw. Daud Msangi akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi mara baada ya ufunguzi wa semina maalum kwa wamiliki wa hoteli ya nyumba za kulala wageni wa Mkoa wa Dodoma,liyofanyika kwenye katika ukumbi wa mikutano wa Dodoma Hotel.
baadhi ya washiriki wa semina hiyo ya wamiliki wa hoteli pamoja na mameneja wa hoteli hizo
Meneja Masoko wa Mfuko wa GEPF,Bw. Aloyce Ntukamazina akiwasilisha mada maalum juu ya sekta ya hifadhi ya jamii na umuhimu wa kujiunga na GEPF.
Meneja wa Kanda Mkoa wa Dodoma,Bw. Josephat Mshana akielezea faida za kujichangia katika mpango wa hiari uliobuniwa na GEPF (VSRS)
Mkurugenzi wa hoteli maarufu mjini Dodoma Royal Village,Bw. Merley Shabiby akikabidhiwa cheti maalum cha ushiriki na msaidizi wa Waziri wa Kazi,Bw. Simon Mwanjali.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa