Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mke wa Waziri mkuu,Mama tunu Pinda akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi
Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda akitoa heshima zake za mwisho
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Chiku Galawa akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma,
Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw. Clement Mshana na waombolezaji wengine wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma
Baadhi ya Waandishi wa habari wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma,
Baadhi ya Waandishi wa habari wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma,
iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma
iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma
Baadhi
ya Waandishi wa habari wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli
Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa
marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma,
Baadhi
ya Waandishi wa habari wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli
Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa
marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma,
Mke
wa aliyekuwa mwandishi wa habari wa TBC, Samweli Chamulomo,Theresia
Bura akimuaga kwa uchungu mpenzi mumewe marehemu Samweli Chamulomo
kwenye ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu,
eneo la Mlezi, Dodoma
Jeneza lenye Mwili
wa mwandishi wa habari wa TBC Samweli Chamulomo likiwekwa kaburini
katika mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kikuyu mjini Dodoma
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, DKt. Fenella Mukangara ,
akiweka shada la maua katika kaburi la mwandishi wa habari wa TBC
marehemu Samweli Chamulomo yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kikuyu mjini
Dodoma.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
0 comments:
Post a Comment