Home » » DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA

DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Adv. Anthon Mavunde akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mpira wa Miguu kuwania Kombe la DC na kushirikisha timu 24 kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo jana.
Timu za Mpwapwa Academy na Kota FC zikizubiri kukaguliwa na mgeni rasmi. Katika mchezo huo wa ufunguzi Kota FC wqalishinda goli 3-2.
DC akikaribishwa kusalimiana na wachezaji.
Mdhamini wa michuano hiyo ya DC Cup 2015, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Anthony Mavunde akisalimia wachezaji wa Kota FC.
Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Anthony Mavunde akisalimia wachezaji Mpwapwa FC
Wachezaji wa Mpwapwa FC wakiwa tayari kuanza pambano lao.
DC Mavunde akipata maelezo kutoka kwa viongozi wa mpira Mpwapwa.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa