Home » » PICHA: WABUNGE WAKILA KIAPO MJINI DODOMA LEO

PICHA: WABUNGE WAKILA KIAPO MJINI DODOMA LEO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

mw6
Mbunge wa Viti Maalum CCM Neema Mgaya akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw1
Mbunge wa Viti Maalum CCM Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw2
Mbunge wa Jimbo la Kawe Mh. Halima James Mdee akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw3
Mbunge wa Vunjo Mh.James Francis Mbatia akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw4
Mbunge wa Jimbo la Mwanga Mh.Jumanne Abdallah Maghembe akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw5
Mbunge wa Handeni Vijijini Mh. Mboni Mohamed Mhita akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa