Home » » Mbunge wa Kiembe samaki Mh.Raza mafagilia Waziri Mkuu Majaliwa.

Mbunge wa Kiembe samaki Mh.Raza mafagilia Waziri Mkuu Majaliwa.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mh.Ibrahim Raza nje ya jengo la Bunge  mjini Dodoma hapo jana.Mh Raza amempongeza Mh Kassim Majaliwa kwa uchapaji wake kazi na pia amemtaka kuendelea na kasi yao kubwa ya kutumbua majipu kuhakikisha nchi yetu inapanda kiuchumi na pia kuirudisha nchi katika mstari wa kuheshimu sheria za nchi na misingi yake.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa