Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
|
Waziri wa Nishati na Mdini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi mara walipokutana Bungeni mjini Dodoma wakati wa Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madinileo 19 Me, 2016 bungeni hapo. |
|
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Profesa Jumanne Maghembe akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajili
ya vikao vya asubuhi katika Bunge hilo leo 19 Mei, 2016. |
|
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage (kushoto) akiwa ameongozana na Mbunge mwenzie wakiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajili
ya vikao vya asubuhi katika Bunge hilo leo 19 Mei, 2016. |
|
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajili
ya vikao vya asubuhi katika Bunge hilo leo 19 Mei, 2016. |
|
Naibu Waziri, Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. William Tate Ole Nasha (kushoto) akiteta jambo na Mbunge wa CHADEMA, Mhe. Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay wakati walipowasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajili ya Vikao vya asubuhi vya bunge hilo leo 19 Mei, 2016. |
|
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (kushoto) akiwa na Mbunge mwenzie wakiingia ndani ya bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya asubuhi vya bunge hilo leo 19 Mei, 2016. |
|
Naibu Waziri,
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Angelina Mabula akiwasili
viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajili ya vikao vya asubuhi katika Bunge hilo
leo 19 Mei, 2016.
|
|
Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akijibu maswali ya papo
kwa papo leo Bungeni mjini Dodoma 19 Mei, 2016.
|
|
Mwenyekiti wa Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Andrew Chenge (kushoto) akiwa
ameongozana na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Cecilia Paresso wakielekea
ndani ya Bunge kwa ajili ya Vikao vya asubuhi vya bunge hilo 19 Mei, 2016 mjini
Dodoma.
|
|
Baadhi ya Wabunge wa Majimbo mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya bunge kuhudhiria vikao vya asubuhi ndani ya bunge hilo mjini Dodoma leo 19 Mei, 2016. |
|
Naibu Waziri,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na
Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (mwene gauni la kitenge) akiwa na baadhi ya
Wabunge wakielekea ndani ya bunge kwa ajili ya vikao vya asubuhi vya bunge hilo
19 Mei, 2016 mjini Dodoma.
|
|
Waziri wa Ulinzi na
Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi akielekea ndani ya bunge kwa
ajili ya vikao vya asubuhi vya bunge hilo 19 Mei, 2016 mjini Dodoma.
|
(Picha zote na Benedict Liwenga, MAELEZO, Dodoma)
0 comments:
Post a Comment