Home » » NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AONGOZA KIKAO KAZI CHA WATENDAJI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, MKOANI DODOMA

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AONGOZA KIKAO KAZI CHA WATENDAJI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, MKOANI DODOMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
MASA1 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(Mb) akiongoza kikao kazi cha Watendaji Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Kikao hicho kimefanyika leo Mei 30, 2016 katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma(kulia) ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira.
MASA2 
Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(hayupo pichani). Wa pili kulia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP, John Casmir Minja(kulia) ni Naibu Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi, DIGP, Abdulrahmani Kaniki(wa kwanza kushoto) ni Kaimu Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji, Victoria Lembeli(wa pili kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Adengenye.
MASA3 
Watendaji Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakifuatilia kwa makini kikao kazi kilichofanyika chini ya Uenyekiti wake Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni leo Mei 30, 2016 Mkoani Dodoma(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa