Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoo, Mhe. Ummy Mwalimu
(IMb) akisoma taarifa ya Bajeti ya Wizara yake Bungeni mjini Dodoma, 11
Mei, 2016.
Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiteta jambo na Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bungeni mjini Dodoma.
0 comments:
Post a Comment