Waziri
Mkuu,Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Utumishi na Utawala Bora, George
Simbachawene (wapili kulia) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu,Sera, Bunge, Kazi,Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama
watatu kulia) bungeni mjini Dodoma Juni 22, 2016. Wengine kutoka
kushoto ni Mbunge wa Babati Vijijini Jitu Vrajlal Son, , Mbunge wa
Bukoba Vijijini Jasson Rweikiza,Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde,
Mbunge wa Korogwe Stephen Ngonya na Mbunge wa Kilolo Venance Mwamoto.
Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa akiwa katika picha ya pamoja na Wananchi kutoka
jimbo la Ukongwa waliotembeklea bunge kwa mwaliko wa Mbunge (wapili
kulia) Juni 22, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais ,
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Utumishi, na Utawala Bora , George
Simbachawene (kulia) na Mbunge wa Mbulu Vijijini Flatei Massay
(kushoto) kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 22, 2016. Wapili
kushoto ni Mosses Kirway na wapili kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu
yaTaifa ya CCM, Thomas Lulu, wote wakiwa ni wageni waliotembelea Bunge
wakitoka Mbulu.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment