Home » » MTANANGE MKALI WA TIMU YA BUNGE NA ALBINO DODOMA

MTANANGE MKALI WA TIMU YA BUNGE NA ALBINO DODOMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Mbunge wa Jimbo la Kalenga,ambaye ni mchezaji wa timu ya Bunge, Godfrey Mgimwa (kushoto) akijiandaa kuwatoka wachezaji wa timu ya Albino katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma jana.Kutoka kushoto ni Dadi Kabe, Kelvin Mbuta na Ludovick Julius.Bunge ilishinda bao 1-0.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mbunge wa Mkuranga wa timu ya Bunge, Abdala Ulega akiwania mpira na Kelvin Mbuta wa timu ya Albino

 Mbunge wa Jimbo la Kilolo, ambaye ni mchezaji wa timu ya Bunge, Venance Mwamoto (kulia), akimkaba mchezaji wa timu ya Albino, Kelvin Mbuta katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma
 Mbunge wa Jimbo la Kilolo, ambaye ni mchezaji wa timu ya Bunge, Venance Mwamoto (kulia), akimtoka mchezaji wa timu ya Albino, Kelvin Mbuta katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma
 Mwamoto akiwatoka wachezaji wa Albino

Mbunge wa Mbinga Mjini, Sixtus Mapunda  (kulia)akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa timu ya Albino

 Ludovick Julius wa Albino akiwahadaa wachezaji wa Bunge, Sixtus Mapunda na Godfrey Mgimwa

 Mgimwa akiwa amenyang'anya mpira

 Yusufu Kaiza akiwatoka wachezaji wa timu ya Albino


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa