Home » » PUMA YAKABIDHI KWA WAZIRI MPANGO GAWIO LA SERIKALI SH. BILIONI 4.5

PUMA YAKABIDHI KWA WAZIRI MPANGO GAWIO LA SERIKALI SH. BILIONI 4.5

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto) akipokea hundi ya mfano yenye thamani ya sh. bilioni 4.5 za gawio la serikali kutoka Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania, Dk. Ben Moshi katika hafla iliyofanyika Ofisi ya Hazina, Dodoma jana. Puma ni wabia wa Serikali kuendesha biashara ya mafuta nchini.Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Philippe Corsaletti, Wa pili Kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalemani na Msajiri wa Hazina, Lowrence Mafuru.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto) akipokea hundi ya mfano yenye thamani ya sh. bilioni 4.5 za gawio la serikali kutoka Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania, Dk. Ben Moshi katika hafla iliyofanyika Ofisi ya Hazina, Dodoma jana. Puma ni wabia wa Serikali kuendesha biashara ya mafuta nchini.Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Philippe Corsaletti, Wa pili Kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalemani na Msajiri wa Hazina, Lowrence Mafuru.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto) akipokea hundi yenye thamani ya sh. bilioni 4.5 za gawio la serikali kutoka Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania, Dk. Ben Moshi katika hafla iliyofanyika Ofisi ya Hazina, Dodoma jana. Puma ni wabia wa Serikali kuendesha biashara ya mafuta nchini.Wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalemani.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania, Dk. Ben Moshi (wa tatu kushoto) akielezea jinsi kampuni hiyo inavyopoteza mapato kutokana na wizi wa mafuta yao banadarini.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto)  akinukuu kinachozungumzwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Puma,
 Sehemu ya wanahabari wakifanya coverage tukio hilo
 Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania, Dk. Ben Moshi akizungumza katika mkutano huo na wanahabari
 Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania, Dk. Ben Moshi akifafanua jambo alipokuwa akielezea jinsi Puma kwa upande wa Tanzania ilivyofanya vizuri na kupatiwa tuzo
 Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalemani.(kulia) akisikiliza kwa makini wakati Dk Moshi akielezea mafanikio
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, akipiga makofi kufurahishwa  Serikali kupatiwa gawio hilo.
  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalemani. (kulia) akizungumza wakati wa hafla hiyo ambapo alizitaka hata kampuni na mashirika yenye ubia na serikali yahakikishe nao yanatoa gawio ama faida kwa serikali
 Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania, Dk. Ben Moshi akimtafasiria kwa kiingereza Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Philippe Corsaletti, yaliyokuwa yakizungumza na Wairi, Dk Mpango.
Dk Mpango akielezea furaha yake ya Serikali kupata gawio kutoka Puma.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa