Home »
» MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI LEO
MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI LEO
|
Baadhi
ya Wabunge wakiingia katika ukumbi wa bunge kuhudhuria mkutano wa nne(4)
wa bunge la kumi na moja (11) la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
|
|
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Job Ndugai akiingia kwenye ukumbi wa Bunge kwa ajili ya kuendesha
mkutano wa nne(4) wa bunge la kumi na
moja (11) la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma. |
|
Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai Akiwaongoza Wabunge
wa kuimba wimbo wa Taifa wakati wa mkutano wa nne(4) wa bunge la kumi na moja (11) la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
|
|
Wabunge
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika ukumbi wa bunge
wakati wa mkutano wa nne(4) wa bunge la
kumi na moja (11) la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
|
|
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju
akimueleza jambo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim
Majaliwa wakati wa mkutano wa nne(4)
wa Bunge la kumi na moja (11) la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma. |
|
Naibu
Waziri, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. Selemani Said Jafo (MB) akieleza mpango
wa kuendelea kuimarisha hospitali za Serikali Nchini.
|
|
Katibu
wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akiwaeleza jambo Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mhe. George Masaju na Waziri Wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira,
Vijana,Wazee na Wenye Ulemavu wakati wa mkutano wa nne(4) wa bunge la kumi na moja (11) la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
|
|
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (MB) akieleza mipango
ya Serikali katika kuimarisha michezo nchini na kuwataka wadau mbalimbali
kujitokeza kusaidiana na Serikali kuwekeza katika Michezo.
PICHA
NA HASSAN SILAYO-MAELEZO
|
0 comments:
Post a Comment