Home » » NMF YAMTEMBELEA PROF NDALICHAKO DODOMA

NMF YAMTEMBELEA PROF NDALICHAKO DODOMA

 

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, kifurahia jambo wakati alipokutana na Mwenyekiti wa “Nathan Mpangala Foundation (NMF),” ambaye pia ni mchora vibonzo wa ITV, Nathan Mpangala (katikati) na Mkurugenzi wa “Education Improvement Trust Fund (EITF),” Joseph Chikaka, Jumamosi iliyopita mjini Dodoma. NMF yenye lengo la kuwawezesha vijana kujifunza mambo mbalimbali kupitia sanaa kwa kushiriki kwa vitendo ilitumia ziara hiyo kujifunza uzoefu na kuona ni maeneo gani programu zake zinahusiana na somo la stadi za kazi. (Picha: NMF)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa