Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea mchango wa sh. milioni 5.5 kutoka kwa
Mhasibu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Rose Makange (katikati)ukiwa ni mchango wa watumishi wa
TAMISEMI kwa ajili ya madawati wilayani Ruangwa. Makabidhiano hayo
yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu, mjini Dodoma Februari 14, 2017.
Kulia ni Rose Nyoni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) baada ya kupokea
Sh. milioni 5.5 ukiwa ni mchango wa watumishi wa Ofisi hiyo kwa ajili
ya madawati wilayani Ruangwa. Makabidhiano hayo yalifanyika, Ofisini
kwa Waziri Mkuu mjini Dodoma Februari 14, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) baada ya
kupokea mchango wa watumishi hao wa sh. milioni 5.5 kwa ajili ya
madawati wilayani Ruangwa. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa
Waziri Mkuu mjini Dodoma Februari 14, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na baadhi ya watumishi wa Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) baada ya kupokea mchango wa
watumishi hao wa sh. milioni 5.5 kwa ajili ya madawati wilayani Ruangwa.
Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu mjini Dodoma
Februari 14, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment