Home » » MATUKIO ZA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA WAZIRI MKUU-DODOMA

MATUKIO ZA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA WAZIRI MKUU-DODOMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiimba wimbo wa uzalendo wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi yake Dodoma Machi 28, 2017.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu wakiimba wimbo wa uzalendo wakati wa mkutano wao wa mwaka katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi hiyo Dodoma.
Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Flora Bilauri akitoa neno la utangulizi wakati mkutano wao wa mwaka uliofanyika Ukumbi wa mikutano wa Ofisi hiyo Dodoma Machi 28, 2017.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiwasilisha hotuba yake wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi yake ukumbi wa mikutano Dodoma Machi 28, 2017.


Mkurugenzi wa Sera na Mipango Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Packshard Mkongwa akiwasilisha hoja za bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika Dodoma Machi 28, 2017.


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo katika ukumbi wa ofisi hiyo Dodoma.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU-DODOMA)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa