Home » » KHERI APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI DODOMA.

KHERI APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI DODOMA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg:Kheri D James (katikati) akiwasili Ofisi za Makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa kushoto kwake ni Ndg Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Shaka Hamdu Shaka.
Ndg:Rodrick Mpogolo Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi akimpokea Mwenyekit wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi alipowasili Makao makuu ya chama cha mapinduzi.
Mwenyekiti wa umoja wa vijana mkoa wa Dodoma akiwasilisha salamu za vijana wa mkoa wake kwa mwenyekiti wa umoja wa vijana Taifa.
Kaimu katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ndg:Shaka Hamdu Shaka akizungumza.
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha mapinduzi ndg:Thabia Mwita akizungumza na vijana wa Umoja wa Vijana wa chama cha mapinduzi katika viwanja vya makao makuu ya ccm dodoma.

Kikundi cha chipukizi kikitoa burudani
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ndg:Kheri D James akipokea wanachama wapya 200 toka vyama mbalimbali vya upinzani pichani ni alie kuwa katibu wa chama cha ACT WAZALENDO mkoa wa Mwanza ndg:gwanchele.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi ndg:Kheri D James akizungumza na Vijana wa mkoa wa dodoma katika hafla ya kumkaribisha iliofanyika makao makuu ya CCM DODOMA.

 Meza kuu
Vijana wakisikiliza kwa umakini hotuba ya mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi ndg:Kheri D James.
PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa