Home » » WABUNGE WATEULE WALA VIAPO BUNGENI LEO

WABUNGE WATEULE WALA VIAPO BUNGENI LEO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
  Mbunge wa Songea Mjini (CCM) Mhe.Dkt.Damas Daniel Ndumbaro akila kiapo cha uaminifu mbele ya Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson (hayupo pichani)  wakati wa kikao cha kwanza cha mkutano wa kumi ulionza leo Mkoani Dodoma. 
 Mbunge wa  Singida  Kaskazini Mhe.Monko Justine Joseph  akila kiapo cha uaminifu mbele ya Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Dkt.Tulia Ackson wakati wa kikao cha kwanza cha mkutano wa kumi ulionza leo Mkoani Dodoma. 
Mbunge wa Longido Mhe.Dkt.Stephano Lemomo Kiruswa akila kiapo cha uaminifu mbele ya Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson wakati wa kikao cha kwanza cha mkutano wa kumi ulioanza leo Mkoani Dodoma.

Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa