Home » » YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson akisoma dua ya kuliombea Bunge katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Mbunge wa Namtumbo, Eng.Edwin Ngonyani akiuliza swali wakati wa kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi,  Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Suzan  Kolimba na Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe.Angeline Mabula  wakati wa kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma. Picha na Daudi Manongi,MAELEZO.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa