Home » » WAZIRI MKUU MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANYAMA PORI DUNIANI, MACHI 3,2018

WAZIRI MKUU MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANYAMA PORI DUNIANI, MACHI 3,2018

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
 
Mkurugenzi wa Rafiki Wildlife Foundation Mch, Clement Matwiga (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani) katika kuelekea maadhimisho ya 5 ya siku ya wanyamapori duniani, ambayo yatafanyika Kitaifa Dodoma, March 3, 2018,tumekua bega kwa bega kushirikiana na Wizara kutuamini na ndio waandaaji kwa kushirikiana na wizara ya maliasili,  Kulia ni Afisa Wanyamapori Mkuu Idara ya wanyamapori, Eligi Kimario.(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
 Afisa Wanyamapori Mkuu Idara ya wanyamapori, Eligi Kimario (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya 5 ya siku ya wanyamapori duniani, ambayo yatafanyika Kitaifa Dodoma, March 3, 2018, ambapo Mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa. Kushoto ni   Mkurugenzi wa Rafiki Wildlife Foundation Mch, Clement Matwiga.
Mtendaji Mkuu wa Rafiki Wildlife Foundation, Fancis Lazaro (kulia) akizungumza jambo katika Hafla hiyo, Kushoto ni  Afisa Wanyamapori Mkuu Idara ya wanyamapori, Eligi Kimario.

Afisa Wanyamapori Mkuu Idara ya wanyamapori, Eligi Kimario (kushoto) akizungumza katika hafla hiyo, kuanzia kulia ni mratibu wa  Rafiki Wildlife Foundation,  John Masanja na Mtendaji Mkuu wa Rafiki Wildlife Foundation, Fancis Lazaro.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa