Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Profesa Ibrahim Haruna Lipumba(kushoto) na Freeman
Mbowe(kulia) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea
katika kikao cha Bunge hilo.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Dkt. Fenella Mukangara(kulia) na Anne Kilango Malechela(kushoto)
wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa
kikao cha Bunge hilo.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma na waandishi wa
habari kabla ya kikao cha Bunge hilo.
Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta akitoka nje ya Ukumbi wa Bunge
mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo leo mjini Dodoma.Picha na Tiganya Vincent, Dodoma.
0 comments:
Post a Comment