Mbunge
wa Mwibara Kange Lugola akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe wa
Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Mbunge
wa Mwibara akivua bango alilokuwaameva wakati akiomba kura kwa wabunge
za kuwania kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye
ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni 11, 2014. Aliamriwa kuvua bango hilo
na Spika wa Bunge Anne Makinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mwanza Mjini, Ezekiel
Wenje , Bungeni mjini Dodoma Juni 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu).
0 comments:
Post a Comment