MCHENGERWA: SERIKALI IMEDHAMIRIA KUBORESHA MAISHA YA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema Serikali sikivu ya Awamu ya Sita imejidhatiti katika kuboresha maisha ya walimu nchini, hususani katika maeneo ya maslahi na mazingira ya kazi.Mhe. Mchengerwa amesema hayo wakati akizungumza na viongozi pamoja na wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Wilaya ya Rufiji, mara baada ya walimu hao kufanya uchaguzi wa viongozi uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Maendeleo Ikwiriri.“Tumedhamiria kuboresha maisha yenu. Binafsi, tangu nikiwa Waziri wa UTUMISHI hadi sasa nikiwa Waziri wa TAMISEMI, nimekuwa mstari wa mbele kupigiania madaraja yenu na maslahi ya walimu kwa ujumla...

DENMARK KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA

Na. Saidina Msangi, WF, DodomaKamishna wa Idara ya Usimamizi wa Deni la Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Japhet Justine, kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu – El Maamry Mwamba, amefanya mazungumzo na ujumbe kutoka Danish Public Investment Fund for Development Countries (IFU), ukiongozwa na Balozi wa Denmark Nchini, Mhe. Jepser Kammersgaar, katika Ofisi za Wizara ya Fedha, jijini Dodoma.Mazungumzo yao yalilenga kujadili fursa mbalimbali zikiwepo za mikopo yenye masharti nafuu kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta za maji na nishati. Aidha, kupitia Mfuko huo Tanzania inaweza kunufaika na aina mbalimbali za...

RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA

 Na WMJJWM- Dodoma  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewafuturisha Watoto wanaolelewa katika Makao ya Taifa ya Watoto Kikombo Dodoma katika Kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Akizungumza wakati wa Iftari hiyo iliyofanyka Machi 25,2025 kwa niaba yake, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis alitoa shukurani kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuweka mazingira wezeshi yenye lengo la kuondoa kabisa changamoto zinazowakabili watoto walio katika mazingira hatarishi. “Kipekee...

COSTECH WAKABIDHI RASMI ENEO LA MRADI KWA MKANDARASI KWA AJILI YA UJENZI WA JENGO JIPYA LA STI JIJINI DODOMA

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imekabidhi rasmi eneo la mradi kwa mkandarasi TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza ujenzi wa jengo jipya la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STI)  jijini Dodoma.Akizungumza baada ya kukabidhi eneo hilo la mradi Machi 25,2025 jijini Dodoma  Mratibu Msaidizi wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) kutoka COSTECH, Dkt. Aloyce Andrew, amesema hatua hiyo inalenga kurahisisha utoaji wa huduma kwa wadau wa taasisi hi...

WMA YAELEZA MAFANIKIO YAKE IKIWEMO KUAJIRI WAFANYAKAZI 186

Na Dotto Kwilasa, DodomaMtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla, amesema kuwa moja ya mafanikio makubwa na ya kihistoria ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake ni \kuajiri wafanyakazi 186, jambo ambalo limeleta mabadiliko makubwa katika ufanisi wa taasisi hiyo.Kihulla ameeleza haya wakati akitoa ripoti ya mafanikio ya Serikali katika kipindi cha miaka minne ya utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Jijini Dodoma.Amesema ku...

NSSF YATOA ELIMU YA SKIMU YA TAIFA YA HIFADHI YA JAMII YA SEKTA ISIYO RASMI ILIYOBORESHWA KWA KAMATI YA BUNGE

Na MWANDISHI WETU,DODOMA. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kwa Sekta isiyo Rasmi (National Informal Sector Scheme-NISS) iliyoboreshwa inalenga kuwafikia Watanzania wengi zaidi waliojiajiri wenyewe kunufaika na mafao yanayotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).Mhe. Ridhiwani alisema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akifungua mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Ustawi na Maendeleo ya Jamii, iliyofanyika Bungeni Jijini Dodoma.Amewahakikishia wajumbe wa kamati hiyo kuwa skimu hiyo imetengenezwa vizuri na ina faida...

MRITHI WA KINANA KUPATIKANA JANUARI HII

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, DodomaBAADA ya kimya cha muda mrefu kuhusu nani anachukua nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) jibu limepatikana ambapo anatarajiwa kupatikana kati ya January 18 au 19 mwaka huu.Hatua hii ni mara baada ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Abdulrahman Kinaana kutangaza kustaafu kwenye nafasi hiyo tangu Julai mwaka jana kwa madai ya kutaka kupumzika ambapo Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan aliliridhia ombi lake.Akizungumza leo Januari 7,2025 Jijini Dodoma, Katibu wa NEC,Itikadi , Uenezi na Mafunzo wa Chama hicho Amos Makala ameeleza...

MISA TAN YAFANYA ZIARA PSSSF NA KUJIONEA UFANISI WA MFUKO HUO

Na Mwandishi wetu - DodomaUongozi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini Mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA Tan ) imefanya ziara ya kujenga mahusiano kwenye Makao Makuu ya Mfuko wa Hifadhi ya jamii wa PSSSF Jijini Dodoma na kujionea ufanisi wa mfuko huo kwenye kuwahudumia watanzania.Mwenyekiti wa MISA Tan. Bwana Edwin Soko alisema lengo kuu la ziara hiyo ni uongozi mpya wa MISA Tan kujitambulisha kwa PSSSF ili kuongeza mahusiano na mfuko huo pamoja na kuona utendaji wa mfuko huo Kwa kuwa waandishi wa habari Tanzania ni wanafaika wa mfuko huo na ni mabalozi wazuri wa shughuli za PSSSF. wakiwemo wanachama wa MISA Tan."Nimejifunza mengi Kwa kutembelea...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa