Home » » ASKOFU AWASHAURI UKAWA

ASKOFU AWASHAURI UKAWA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Endtime Havest, Dk Elia Mauza amewataka viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutorudi katika Bunge Maalum la Katiba hadi maoni ya wananchi yatakapoheshimiwa.
Akizungumza na Tanzania Daima jana muda mfupi baada ya kumalizika kwa ibada ya Jumaapili, Askofu Dk. Mauza ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Madhehebu ya Kikristo Mkoa wa Dodoma, alisema kitendo cha viongozi kutokuwa waaminifu katika kujadili rasimu ya katiba ni kutowatendea haki Watanzania.
Chanzo:Tanzania Daima 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa