Kamati
ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii pamoja na viongozi
wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo wakiwa katika kikao cha
kujadiliana kuhusu Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016
ambapo wamejadili na kupitia kifungu kwa kifungu katika Muswada huo leo
Oktoba 20,2016 Mjini Dodoma.
Home »
» KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAENDELEA KUUJADILI MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI 2016 MJINI DODOMA.
0 comments:
Post a Comment