
Mbunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe akisaini karatasi inayokusanya
saini za wabunge za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kwa lengo la
kuwasilisha kwa Spika mjini Dodoma. Kulia ni Naibu Kiongozi wa Upinzani
Bungeni, Kabwe Zitto.Picha na
Mohamed Mambo
0 comments:
Post a Comment