Home » » WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO


Waziri Mkuu, Mizengo pinda  akizungumza na  Mbunge wa Viti Maalum
 Pauline Gekul na watoto wake Irene (kushoto)  na Inocentia kwenye
viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 12,2012. (Picha na Ofisi  ya Waziri
Mkuu) (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)
Spika wa Bunge Anne Makinda akimkabidhi kanuni za Bunge Mbunge wa
Kuteluliwa James Mbatia baada ya kumwapisha, Bungeni Mjini Dodoma, Juni
12,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Kuteuliwa Janet Zebedayo Mbene akiapa, Bungeni Mjini Dodoma  Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge waKuteuliwa Saada  Mkuya  Salum akiapa Bungeni Mjini Dodoma Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mbunge wa Namtumbo Vita
Kawawa (kushoto) na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu  Nchemba kwenye
viwanja vya Bunge Mjini  Dodoma  Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)


Mbunge wa Kuteuliwa, Sospeter  Mwijarubi Muhongo akiapa, Bungeni Mjini Dodoma, Juni 12, 2012. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa