Home »
» WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO
 |
Waziri Mkuu, Mizengo pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum
Pauline Gekul na watoto wake Irene (kushoto) na Inocentia kwenye
viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 12,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu) (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
 |
Spika wa Bunge Anne Makinda akimkabidhi kanuni za Bunge Mbunge wa
Kuteluliwa James Mbatia baada ya kumwapisha, Bungeni Mjini Dodoma, Juni
12,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
 |
| Mbunge wa Kuteuliwa Janet Zebedayo Mbene akiapa, Bungeni Mjini Dodoma Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
 |
| Mbunge waKuteuliwa Saada Mkuya Salum akiapa Bungeni Mjini Dodoma Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
 |
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Namtumbo Vita
Kawawa (kushoto) na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba kwenye
viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
|
 |
Mbunge wa Kuteuliwa, Sospeter Mwijarubi Muhongo akiapa, Bungeni Mjini Dodoma, Juni 12, 2012.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
0 comments:
Post a Comment