Home » » WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAJIPANGA KUWAINUA WACHIMBAJI WADOGO

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAJIPANGA KUWAINUA WACHIMBAJI WADOGO



Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo akihutubia Mkutano Mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo wa madini uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Mhe. Stephen Masele akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo wa madini nchini, uliofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (wa kwanza kushoto), na Naibu wake Mhe. Stephen Masele wakishiriki katika mkutano mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo wa madini uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma.
Uongozi wa mpito kitaifa wa Chama cha Wachimbaji Wadogo wa Madini mara baada ya kuchaguliwa na mkutano wao mkuu wa mwaka uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma.
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (katikati) katika picha ya pamoja na makamishna wasaidizi wa madini kutoka kanda mbalimbali, mara baada ya kufunga mkutano mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo wa madini uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa