Kauli
hiyo ya saerikali inatolewa na naibu waziri wa uchukuzi Mhe Charles
Tizeba wakati akifanya ziara ya kutembelea madaraja ya treni yaliyopo
wilayani Bahi mkoani Dodoma ambapo amesema shuguliza kubinadamu
zinazofanyika pembezoni mwa hifadhi za reli zikiwemo kilimo na kupitisha
mifungo juu ya reli zinaweza kusababisha reli na madaraja kusombwa na
maji kipindi cha mvua.
Home »
» SERIKALI YAPIGA MARUFUKU SHUGHULI PEMBEZONI MWA RELI
0 comments:
Post a Comment