|
Mjumbe wa Bunge Maalum, Evod Mmanda akifafanua kanuni za
bunge hilo leo mjini Dodoma.
|
|
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Iddi akijadiliana jambo na Waziri Mkuu Mizengo
Pinda(kushoto) wakati wa semina ya kuhusu kanuni za bunge hilo leo mjini
Dodoma.
|
|
Waziri wa Katiba na Sheria ,Dk. Rose Asha Migiro
akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia ,Januari Makamba
wakati wa semina ya kuhusu kanuni za bunge hilo leo mjini Dodoma.
|
|
Mjumbe wa Bunge Maalum Dk.
Tulie Akson akifafanua kanuni za
bunge hilo leo mjini Dodoma.
(Picha na Magreth Kinabo)
|
0 comments:
Post a Comment