kushoto Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma Fatma Ally, akiwa na Waziri wa Maji Profesa.Jumanne Maghembe wakizindua kisima cha maji.
Waziri wa Maji Profesa.Jumanne Maghembe, pamoja naMkuu
wa Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma Fatma Ally wote kwa pamoja
wakifungua bomba la maji kuashiria uzinduzi rasmi wa matumizi ya maji.
Waziri wa Maji Maji Profesa.Jumanne Maghembe akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mvumi makulu Mkoani Dodoma.
Muonekano wa kisima kichozinduliwa.
Kulia Waziri wa Maji Maji Profesa.Jumanne Maghembe (katikati),Mkuu
wa Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma Fatma Ally, na kushoto Afisa Tarafa
Chamwino Mvumi Mohamed Mfaki akielekea kuzindua bomba la maji.
Waziri wa Maji Maji Profesa.Jumanne Maghembe, akipanda mti.
Waziri wa Maji Maji
Profesa.Jumanne Maghembe akisalimiana na Mkurugenzi ya Halmashauri
Wilaya Chamwino Mkoani Dodoma Adrian Jungu.baada ya kuwasili kuzindua
mradi mkubwa wa maji wenye uwezo wa kuwahudumia wakazi zaidi ya elfu 13
uliogharimu zaidi ya shilingi milioni 300.kilichopo katika kijiji cha
Mvumi makulu Mkoani Dodoma
Waziri wa Maji Maji Profesa.Jumanne Maghembe, akiongea na wana kijiji wa Mvumi makulu Mkoani Dodoma.PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE,DODOMA
0 comments:
Post a Comment