Home » » MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI, MJINI DODOMA 27 MEI, 2016

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI, MJINI DODOMA 27 MEI, 2016

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye ambaye pia ni Mbunge wa CCM Jimbo la Mtama akiwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.



Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (kushoto) akiwa ameongozana na Mbunge mwenzie wakiwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akiwa ameongozana na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Eng. Hamad Masauni wakiwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.

Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Andrew Chenge akiwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.



Mbunge wa CCM Jimbo la Pangani, Mhe. Jumaa Aweso (kulia) akiwa ameongozana na Mbunge mwenzie wakiingia ndani ya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.



Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Mlimba, Mhe. Susan Kiwanga akiwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.


Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mhe. Martha Mlata (kushoto) akiwa ameongozana na Mbunge mwenzie wakiingia ndani ya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.



Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Mhe. Dkt. Elly Macha (kulia) akisaidiwa kuingia Bungeni mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ambaye pia ni Mbunge wa CCM Jimbo la Namtumbo, Mhe. Edwin Ngonyani akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo 27 Mei, 2016 kuhudhuria vikao vya asubuhi ndani ya Bunge hilo.

 Mbunge wa CCM Jimbo la Hanang, Mhe. Dkt. Mary Nagu akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo 27 Mei, 2016 kuhudhuria vikao vya asubuhi ndani ya Bunge hilo.


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ambaye pia ni Mbunge wa CCM Jimbo la Kisesa, Mhe. Luhaga Mpina akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo 27 Mei, 2016 kuhudhuria vikao vya asubuhi ndani ya Bunge hilo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. George Masaju akichangia hoja kuhusu swali lililohusu malipo kwa Wastaafu ndani ya Bunge mjini Dodoma, 27 Mei, 2016.

(Picha zote na Benedict Liwenga, MAELEZO, Dodoma)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa