Home » » WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE WA UNICEF TANZANIA NA UNDP TANZANIA

WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE WA UNICEF TANZANIA NA UNDP TANZANIA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwakilishi wa UNISEF Nchini Tanzania Bibi Maniza Zaman . wakati alipofika ofisini kwa Waziri Mkuu . magogoni Dar es salaam agosti 2. 2017 kwa mazungumzo ya kikazi. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akutana na mwakilishi mkazi wa Unisef Nchini Tanzania Bibi Maniza Zaman Ogasti 2. 2017 kwa mazunguzo ya kikazi yaliyo fanyika ofisni kwa Waziri Mkuu Magogoni Dar es salaam.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwakilishi mkazi wa UNDP nchini Tanzinia Bwana Alvaro Rodriguez , wakati walipo mtembelea ofisini kwake Magogoni Dar es salaam .kwa mazungumzo ya kikazi Katikati ni Mwakilishi wa UNISEF Nchini Tanzania Maniza Zaman.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa