Home » » NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE OFISI KWAKE

NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE OFISI KWAKE


 Naibu Spika Mhe. Job Ndugai akimuaga mgeni wake mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao
 Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue akifafanua jambo kwa Naibu
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai walipokutana Ofisi kwa Naibu Spika
Bungeni, Dodoma

Naibu Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimweleza jambo Katibu Mkuu
kiongozi Balozi Ombeni Sefue mara alipofika kumtembelea Ofisini Kwake
Dodoma. Balozi Sefue alifanya ziara ya kikazi Bungeni Dodoma kwa lengo
la kujitambulisha na baadhi ya viongozi wa Bunge

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa