Home » » Airtel yafanya promosheni ya huduma ya ‘Jiunge na Supa 5’ kwa kishindo Mkoani Dodoma.

Airtel yafanya promosheni ya huduma ya ‘Jiunge na Supa 5’ kwa kishindo Mkoani Dodoma.



Wasanii wa kikundi cha Kinoko kutoka Dar es Salaam wakilishambulia jukwaa wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 katika viwanja vya Jamhuri, Mkoani Dodoma jana. Uzinduzi rasmi ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakihamia Airtel wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.




Mkazi wa Dodoma, Queen Jackson akishindana kucheza taarab wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.




Zawadi mbalimbali zikiwemo simu za mkononi zilitolewa ili kufanya promosheni hiyo iwe ya aina yake.




Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 Mkoani Dodoma jana.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa