Home » » PICHA WANAFUNZI ST.JOHN DODOMA WALIPOPATA RAIS MPYA

PICHA WANAFUNZI ST.JOHN DODOMA WALIPOPATA RAIS MPYA


RAISI wa serikali ya wanafunzi katika chuo kikuu cha St.John Tanzania
Andrew Chiduo akila kiapo cha kuitumikia cha kuitumikia serikali hiyo
kwa uadilifu na uaminifu kwa mujibu wa katiba ya serikali ya wanafunzi
mara baada ya kushinda katika uchaguzi uliofanyika Juni mosi mwaka
huu.Ataitumikia serikali hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu
sasa.
Picha naMasoud Masasi  wa Dodoma yetu blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa