Home » » MAFUNDI WAKIKARABATI BARABARA MKOA WA DODOMA‏

MAFUNDI WAKIKARABATI BARABARA MKOA WA DODOMA‏










Fundi wa rangi akipaka rangi kingo za barabara kama alivyokutwa jana
katika eneo la stendi ya mabasi  yaendayo mikoani mjini
Dodoma,Manispaa hiyo imekuwa ikikarabati barabara hizo katika mji huo
ambao ni makao makuu ya nchi.
Picha na Masoud Masasi.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa