Home » » MFANYABIASHARA KONDOA AKIWA AMETUNDIKA BIDHAA ZAKE KWA STAILI YAKE‏

MFANYABIASHARA KONDOA AKIWA AMETUNDIKA BIDHAA ZAKE KWA STAILI YAKE‏





Mfanyabiashara ya kuuza soksi wilayani kondoa akiwa ameweka bidhaa
zake kwenye fimbo kama alivyokutwa juzi katikati ya mji

huo,wafanyabishara wengi wilayani hapa wamekuwa wakitumia staili hiyo
ingawa vijana wengi wilayani hapa wamekuwa wakiacha masomo na
kujiingiza katika shughuli hizo.
Picha na Masoud Masasi

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa