Mkuu wa Idara ya wanyama wa dogo katika taasisi ya taifa ya utafiti wa
mifugo kilichopo wilayani Mpwapwa Zakaria Magubu akitoa maelekezojinsi ya kuwahudumia mbuzi na kondoa ili wasiweze kupatwa na magonjwakwa wafugaji wa kata ya Massa juzi wilayani hapa.Picha na MasoudMasasi. wa Blogs za Mikoa
Wafugaji katika kata ya Massa wilayani Mpwapwa wakitazama ng'ombe aina
ya Mpwapwa ambao wameelezwa wanastahimili hali ya ukame walipotembeleajuzi taasisi ya taifa ya utafiti wa mifugo kilichopo wilayani kwenyeziara yao ya kupata elimu kuhusiana na mifugo.Picha na Masoud Masasi.
www.blogszamikoa.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment