Home » » SPIKA APATA UGENI KUTOKA BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA WA HAKI ZA BINADAMU

SPIKA APATA UGENI KUTOKA BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA WA HAKI ZA BINADAMU

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akimueleza jambo Mtaalamu wa kujitegemea kutoka Baraza la Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, liliopo Geneva, Switzerland Ndg. Ikponwosa Ero, nyumbani kwake Mjini Dodoma. katikati ni katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwa na ugeni kutoka Baraza la Umoja wa Mataifa lenye Makao Makuu yake Geneva, Switzerland wakiongozwa na Ndg. Ikponwosa Ero (wa pili kushoto) uliomtembelea nyumbani kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimsikiliza Mtaalamu wa kujitegemea kutoka Baraza la Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Ndg. Ikponwosa Ero ,alipomtembelea nyumbani kwake Mjini Dodoma. katikati ni katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa