Home » » MKULIMA WA ALIZETI DODOMA AKIPUKUCHA ALIZETI BAADA YA KUTOA SHAMBANI‏

MKULIMA WA ALIZETI DODOMA AKIPUKUCHA ALIZETI BAADA YA KUTOA SHAMBANI‏

 Mkulima wa zao la Alizeti  Eva Sakalani akipukuchua alizeti mara baada
ya kutoka kuvuna shambani kama alivyokutwa katika kijijji cha
Chololo katika Manispaa ya Dodoma,alizeti ni moja ya mazao yanayolimwa
kwa wingi mkoani Dodoma kutokana na kuweza kukabili  ukame wa mkoa huu
tofauti na mazao mengine kama mahindi

Mkulima wa mtama aina ya Masia Boniface Chiwanga akiangalia shamba
lake la mtama  katika kijiji cha Chololo mkoani Dodoma katika siku
ya mkulima shambani iliyoandaliwa na ofisi ya Manispaa ya Dodoma
kupitia idara yake ya kilimo ambapo mkulima huyo alisema analima mtama
na uwele kwa kuwa unakabiliana na ukame.
Picha na Masoud Masasi wa Dodoma yetu 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa