Home » » WAMASAI MJINI DODOMA WAKICHEZA BAO WAKATI WANANGOJEA WATEJA WA KUSUKWA.

WAMASAI MJINI DODOMA WAKICHEZA BAO WAKATI WANANGOJEA WATEJA WA KUSUKWA.




Wamasai  wanaojishughulisha na kazi ya ususi  na uuzaji wa dawa za asili katika manispaa ya Dodoma wakicheza mchezo wa bao huku wakisubiri wateja wao kama walivyonaswa na kamera juzi katika eneo la Jamatini mjini hapa,
Picha na Masoud Masasi.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa