Home » » Watoto hawa baada ya kwenda shule, wamepanga foleni ya kuuza Maandazi

Watoto hawa baada ya kwenda shule, wamepanga foleni ya kuuza Maandazi



Vijana wakisubiri wateja wa kuwauzia maandazi kama walivyokutwa jana katika eneo la majengo mjini dodoma,vijana wengi mjini hapa wamekuwa wakiacha shule na kujiingiza katika biashara mbalimbali.Picha na Masoud Masasi

www.blogszamikoa.blogspot.com

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa