Home » » BREAKING NEWSS:::MH. SAMIA SULUHU ASHINDA MAKAMU MWENYEKITI BUNGE MAALUM LA KATIBA

BREAKING NEWSS:::MH. SAMIA SULUHU ASHINDA MAKAMU MWENYEKITI BUNGE MAALUM LA KATIBA


Mh.Samia Suluhu amekuwa Makamu Mwenyekiti mteule wa Bunge maalum la katiba baada ya kupata kura 390 dhidi ya mpinzani wake Mh.Amina Amour ambae alipata kura 126, sasa hivi bunge maalum la katiba limepata Mwenyekiti pamoja na Makamu Mwenyekiti wa kudumu baada ya uchaguzi wa jana na leo.
hii ndio mwanzo wa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hii ni baada ya Mwenyekiti wa muda Mh. Pandu Ameir Kificho kuwa Mwenyekiti wa muda toka mchakato wa huu ulipoanza.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa